forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
502 B
Markdown
16 lines
502 B
Markdown
|
# Je haunao pamoja nawe Sadoki na Abiathari makuhani?
|
||
|
|
||
|
Daudi anauliza swali hili ili kumwambia Hushai kwamba hayupo peke yake. Yaani kuonesha kwamba "Sadoki na Abiathari makuhani watakuwepo kukusaidia."
|
||
|
|
||
|
# chochote unachosikia... lolote usikialo
|
||
|
|
||
|
Hii ni kuzidisha maana; haimaanishi kila neno asikialo. Inamaanisha mambo muhimu ayasikiayo.
|
||
|
|
||
|
# Ahimaasi... Yonathani
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mikono yao
|
||
|
|
||
|
Kifungu "mikono yao" kinarejerea kwa wana na kinamaanisha kwamba wangehudumu kama wajumbe.
|