forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
632 B
Markdown
28 lines
632 B
Markdown
# Ikawa
|
|
|
|
"Ilitukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio linalofuata katika habari.
|
|
|
|
# juu njiani
|
|
|
|
Neno "juu" limetumika hapa kwa sababu Daudi alipanda juu katika mwinuko na yupo juu ya kilima.
|
|
|
|
# Mahali Mungu alipokuwa akiabudiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kuwa "mahali ambapo watu walikuwa wakimwabudu Mungu"
|
|
|
|
# Hushai
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamme.
|
|
|
|
# Mwarki
|
|
|
|
Hili ni jina la kundi la watu.
|
|
|
|
# Vazi lake likiwa limechanwa na udongo kichwani
|
|
|
|
Hili ni tendo la kuonesha aibu au toba. Hapa neno "udongo" linamaanisha uchafu.
|
|
|
|
# Utalibadili shauri la Aithofeli kwa ajili yangu
|
|
|
|
Maoni ya Daudi kwa Hushai kwamba apinge kile Aithofeli anachoshauri.
|