sw_tn/2sa/15/32.md

632 B

Ikawa

"Ilitukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio linalofuata katika habari.

juu njiani

Neno "juu" limetumika hapa kwa sababu Daudi alipanda juu katika mwinuko na yupo juu ya kilima.

Mahali Mungu alipokuwa akiabudiwa

Hii inaweza kuelezwa kuwa "mahali ambapo watu walikuwa wakimwabudu Mungu"

Hushai

Hili ni jina la mwanamme.

Mwarki

Hili ni jina la kundi la watu.

Vazi lake likiwa limechanwa na udongo kichwani

Hili ni tendo la kuonesha aibu au toba. Hapa neno "udongo" linamaanisha uchafu.

Utalibadili shauri la Aithofeli kwa ajili yangu

Maoni ya Daudi kwa Hushai kwamba apinge kile Aithofeli anachoshauri.