sw_tn/2sa/15/21.md

614 B

Kama Yahwe aishivyo, na kama bwana wangu mfalme aishivyo

Hapa mwandisha anafanya ahadi ya dhadi. Analinganisha uhakika wa kutimiza ahadi kwa uhakika wa kuishi kwa mfalme na Yahwe.

mtumishi wako

Itai anajitaja kwa heshima ya mfalme.

kwamba ni maisha au kifo

"hata kama nitauawa nikikusaidia"

Nchi yote ikalia kwa sauti kuu

Wengi wa watu wa Israeli walilia kwa sauti walipomwona mfalme akiondoka. Huku ni kutia chumvi kwamba nchi yote ililia.

kwa sauti kuu

Hapa watu wengi waliokuwa wakilia wanatajwa kama walishirikiana sauti kuu.

Bonde la Kidroni

Hili ni jina la eneo karibu na Yerusalemu