forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
614 B
Markdown
24 lines
614 B
Markdown
|
# Kama Yahwe aishivyo, na kama bwana wangu mfalme aishivyo
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandisha anafanya ahadi ya dhadi. Analinganisha uhakika wa kutimiza ahadi kwa uhakika wa kuishi kwa mfalme na Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Itai anajitaja kwa heshima ya mfalme.
|
||
|
|
||
|
# kwamba ni maisha au kifo
|
||
|
|
||
|
"hata kama nitauawa nikikusaidia"
|
||
|
|
||
|
# Nchi yote ikalia kwa sauti kuu
|
||
|
|
||
|
Wengi wa watu wa Israeli walilia kwa sauti walipomwona mfalme akiondoka. Huku ni kutia chumvi kwamba nchi yote ililia.
|
||
|
|
||
|
# kwa sauti kuu
|
||
|
|
||
|
Hapa watu wengi waliokuwa wakilia wanatajwa kama walishirikiana sauti kuu.
|
||
|
|
||
|
# Bonde la Kidroni
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la eneo karibu na Yerusalemu
|