sw_tn/2sa/15/05.md

384 B

yeye hunyosha mkono na kumshika na kumbusu

Hili ni tendo la salamu ya kiurafiki.

kwa hukumu

Hii inamaanisha kwamba walimjia mfalme ili kuamua migogoro yao

Hivyo Absalomu akaiba mioyo ya watu wa Israeli

Hii inamaanisha kwamba Absalomu aliwashawishi watu kumtii yeya zaidi ya Daudi. Hapa mwandishi anaongelea jinsi watu walivyomtii Absalomu kwa kusema aliiba mioyo ya watu.