forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
384 B
Markdown
12 lines
384 B
Markdown
|
# yeye hunyosha mkono na kumshika na kumbusu
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la salamu ya kiurafiki.
|
||
|
|
||
|
# kwa hukumu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba walimjia mfalme ili kuamua migogoro yao
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Absalomu akaiba mioyo ya watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba Absalomu aliwashawishi watu kumtii yeya zaidi ya Daudi. Hapa mwandishi anaongelea jinsi watu walivyomtii Absalomu kwa kusema aliiba mioyo ya watu.
|