sw_tn/2sa/14/32.md

538 B

Tazama

Neno hili limetumika hapa kama usemi kusisitiza, na kuthibitisha kinachosemwa baada ya hapa.

Nilituma neno

Hii inamaana alituma mjumbe.

Kwa mfalme kusema

Ujumbe kwa mfalme hapa umeandikwa kama Absalomu ndiye alikuwa mzungumzaji. Absalomu alikuwa akimwomba Yoabu kusema ujumbe kwa niaba yake.

Uso wa mfalme

Hii inamrejerea mfalme.

Aliinama chini mbele ya mfalme hadi kwenye ardhi

Absalomu anaonesha heshima kwa mfalme.

Mfalme akambusu Absalomu

Hii inamaanisha kwamba mfalme alisamehe na kumrudisha Absalomu.