sw_tn/2sa/14/28.md

397 B

Uso wa mfalme

Hii inamaansisha mfalme.

Absalomu akatuma neno kwa Yoabu

Hii inamaanisha kwamba alittuma mjumbe kwa Yoabu akiwa na ombi.

Kumpeleka kwa mfalme

Inaoneshwa kwamba Absalomu alimtaka Yoabu kuja kwake ili amwone na kuingilia kati ili aweze kumwona mfalme.

Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili

Hii inamaanisha kwamba alituma tena mjumbe kwa Yoabu akiwa na ombi lilelile.