forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
397 B
Markdown
16 lines
397 B
Markdown
|
# Uso wa mfalme
|
||
|
|
||
|
Hii inamaansisha mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Absalomu akatuma neno kwa Yoabu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba alittuma mjumbe kwa Yoabu akiwa na ombi.
|
||
|
|
||
|
# Kumpeleka kwa mfalme
|
||
|
|
||
|
Inaoneshwa kwamba Absalomu alimtaka Yoabu kuja kwake ili amwone na kuingilia kati ili aweze kumwona mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba alituma tena mjumbe kwa Yoabu akiwa na ombi lilelile.
|