sw_tn/2sa/13/30.md

493 B

Hivyo ikawa

"Ikatukia." Kifungu hiki kimetumika kutambulisha tukio linalofuata katika habari.

Njiani

"kusafiri njiani"

Habari ikamfikia Daudi kusema

Hapa inasema kwamba habari ilikuja,mtu alikuja na kumwambia Daudi ile habari.

Ndipo mfalme alipoinuka

"Kisha mfalme akainuka"

akachana nguo zake, na kulala juu ya sakafu

Alifanya hivi kuonesha kwamba alikuwa na huzuni sana.

pamoja na nguo zao zimechanwa

Walifanya hivi kuonesha huzuni yao na kuomboleza pamoja na mfalme.