sw_tn/2sa/13/27.md

641 B

Absalomu alimsihi Daudi

Hapa mwandishi anamzungumzia Absalomu akimsihi Daudi kumwacha Amnoni kuja kama vile kuweka msukumu wa kimwili juu yake.

Msiogope

Hii inamaanishi hawaitaji kuogopa matokeo ya kumwua Amnoni.

Je siyo mimi niliyewaagiza?

Absalomu anauliza swali hili kusistiza kwamba atalaumiwa yeye kwa kuagiza wafanye hivyo.

si kuwaagiza

Kile alichokiagiza Absalomu kinaweza kuelezwa kwa swali kama je sikuwaagiza kumwua?

wana wote wa mfalme

Hii haiwahusishi Absalomu na Amnoni aliyekufa. Inawahusu wana wa mfalme aliowaruhusu kwenda kwenye sherehe.

kila mtu

Hii inahusisha wana wa mfalme walioondoka shereheni.