sw_tn/2sa/13/25.md

247 B

Tafadhari mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi

Mwana mkuu alimwakilisha baba yake katika utamaduni wa Kiisraeli. Amnoni alikuwa mwana mkuu wa Daudi.

Kwa nini Amnoni aende nanyi?

Daudi alifahamu kwamba Absalomu na Amnoni hawakuwa marafiki.