forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
247 B
Markdown
8 lines
247 B
Markdown
|
# Tafadhari mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi
|
||
|
|
||
|
Mwana mkuu alimwakilisha baba yake katika utamaduni wa Kiisraeli. Amnoni alikuwa mwana mkuu wa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini Amnoni aende nanyi?
|
||
|
|
||
|
Daudi alifahamu kwamba Absalomu na Amnoni hawakuwa marafiki.
|