sw_tn/2sa/13/20.md

377 B

Je amekuwa nawe Amnoni nduguyo?

Hii ni njia laini ya kuuliza je Amnoni amekuwa na uhusiano wa tendo la ndoa nawe.

Nyamaza

Hii inamaanisha kutomwambia mtu juu ya jambo fulani.

Usiliweke jambo hili moyoni

Kifungu "kuweka jambo moyoni" inamaanisha "kuhofu juu yake."

Hivyo Tamari akabaki peke yake

Hii inamaanisha kwamba hakuolewa.

hakusema lolote

"alinyamaza"