sw_tn/2sa/13/13.md

333 B

Maelezo ya Jumla

Tamari anaendelea kuongea na Amnoni

Ningeenda wapi kujiepusha na aibu ambayo ingewekwa juu yangu maishani?

Tamari anauliza swali hili kusisitiza kiasi gani angeona aibu kama atalala naye.

Kujiepusha na aibu hii.

Tamari anazungumzia kuondoa aibu yake kama vile ingekuwa adui au mtesaji aliyetaka kumkwepa.