sw_tn/2sa/13/07.md

339 B

Daudi akatuma neno

Hii inamaanisha kwamba alituma mjumbe kuongea na Tamari

Donge

Mchanganyiko wa unga na maji unaotumika kwa kuokea.

Kuukanda

Kutumia mikono kulichanganya donge

mbele yake

Hii inamaanisha kwamba Tamari alitengeneza mkate mbele ya Amnoni.

Hivyo kila mtu akatoka

"Kutoka nje kwa mtu" inamaanisha kuwaacha.