forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
339 B
Markdown
20 lines
339 B
Markdown
|
# Daudi akatuma neno
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba alituma mjumbe kuongea na Tamari
|
||
|
|
||
|
# Donge
|
||
|
|
||
|
Mchanganyiko wa unga na maji unaotumika kwa kuokea.
|
||
|
|
||
|
# Kuukanda
|
||
|
|
||
|
Kutumia mikono kulichanganya donge
|
||
|
|
||
|
# mbele yake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba Tamari alitengeneza mkate mbele ya Amnoni.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo kila mtu akatoka
|
||
|
|
||
|
"Kutoka nje kwa mtu" inamaanisha kuwaacha.
|