forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
301 B
Markdown
16 lines
301 B
Markdown
# Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume. Shama alikuwa kaka wa Daudi.
|
|
|
|
# Mwelevu
|
|
|
|
mwenye akili au mdanganyifu
|
|
|
|
# Kuwa na mawazo
|
|
|
|
Ni hali ya kihisia au huzuni ya hali ya juu
|
|
|
|
# Je hautaniambia?
|
|
|
|
Swali hili ni ombi la Yehonadabu ili aambiwe kwa nini Amnoni ana hali hiyo.
|