sw_tn/2sa/13/03.md

301 B

Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi

Haya ni majina ya wanaume. Shama alikuwa kaka wa Daudi.

Mwelevu

mwenye akili au mdanganyifu

Kuwa na mawazo

Ni hali ya kihisia au huzuni ya hali ya juu

Je hautaniambia?

Swali hili ni ombi la Yehonadabu ili aambiwe kwa nini Amnoni ana hali hiyo.