forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
392 B
Markdown
16 lines
392 B
Markdown
# Ikawa baada ya haya
|
|
|
|
"Ilitukia baada ya haya." Kifungu hiki inatambulisha tukio jipya katika habari.
|
|
|
|
# Dada wa kambo
|
|
|
|
Amnoni na Tamari walikuwa watoto wa baba mmoja lakini mama tofauti
|
|
|
|
# Dada
|
|
|
|
Absalomu na Tamari walikuwa watoto wa baba na mama mmoja.
|
|
|
|
# Amnoni alichanganyikiwa kiasi cha kuwa mgojwa kwa kwa sababu ya Tamari dada yake
|
|
|
|
Hii ni kwa sababu Amnoni alimtamani ili alale nae.
|