sw_tn/2sa/13/01.md

392 B

Ikawa baada ya haya

"Ilitukia baada ya haya." Kifungu hiki inatambulisha tukio jipya katika habari.

Dada wa kambo

Amnoni na Tamari walikuwa watoto wa baba mmoja lakini mama tofauti

Dada

Absalomu na Tamari walikuwa watoto wa baba na mama mmoja.

Amnoni alichanganyikiwa kiasi cha kuwa mgojwa kwa kwa sababu ya Tamari dada yake

Hii ni kwa sababu Amnoni alimtamani ili alale nae.