sw_tn/2sa/12/26.md

753 B

Yoabu akapigana... akaukamata

Hapa mwandishi anasema "Yoabu" lakini anarejerea kwa Yoabu na askari waliopigana pamoja naye.

Raba

Kupigana dhidi ya mji hu, halisia inamaanisha kupigana dhidi ya watu wa Raba.

Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi na kusema

"Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi kumwambia"

Wamechukua sehemu ya kusambaza maji mjini

"Kukamata" eneo inamaanisha kuchukua umilki.

Kupiga kambi kinyume

Hii inamaanisha kuzunguka na kushambulia.

Nimepigana... nimekamata... ikiwa nitachukua

Hapa Yoabu anajisemea mwenyewe wakati halisia anarejerea kwake na askari wake.

Uchukue... chukua mji

"Kuchukua" eneo inamaanisha kuchukua umilki.

Utaitwa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani "watu watauita"