sw_tn/2sa/12/24.md

421 B

Akaingia kwake, na kulala naye

Kifungu "kuingia kwake" ni tamathali ya kuonesha kwamba Daudi alifanya tendo la ndoa na mkewe. Vifungu hivi viwili vinamaana moja na vinatumika kusisitiza kwamba walilala pamoja.

Alituma neno kupitia nabii Nathani

Hapa "neno" inarejerea kwa Yahwe aliyemwambia Nathani kumwambia Daudi.

Yedidia

Hili ni jina lingine la Sulemani mwana wa Daudi, Yahwe alilolichagua kwa ajili yake.