forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
421 B
Markdown
12 lines
421 B
Markdown
|
# Akaingia kwake, na kulala naye
|
||
|
|
||
|
Kifungu "kuingia kwake" ni tamathali ya kuonesha kwamba Daudi alifanya tendo la ndoa na mkewe. Vifungu hivi viwili vinamaana moja na vinatumika kusisitiza kwamba walilala pamoja.
|
||
|
|
||
|
# Alituma neno kupitia nabii Nathani
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" inarejerea kwa Yahwe aliyemwambia Nathani kumwambia Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Yedidia
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la Sulemani mwana wa Daudi, Yahwe alilolichagua kwa ajili yake.
|