sw_tn/2sa/12/14.md

375 B

Kudharau

Kutokupenda au kumchukia mtu au kitu

Yahwe alimpiga mtoto... na akawa mgonjwa sana.

Yahwe anaonekana kusababisha ugonjwa wa mtoto kama vili amempiga.

mtoto aliyezaliwa kwako

Kifungu "kuzaliwa kwako" inamaanisha kwamba huyu ni mtoto wa Daudi

Mtoto ambaye mke wa Uria alimzalia Daudi

Hii inamaana kwamba alizaa mtoto ambaye Daudi ndo alikuwa baba yake.