sw_tn/2sa/12/04.md

663 B

Mtamba wa kondoo

Kondoo jike

Hasira ya Daudi ikawaka kinyume cha

Hapa mwandishi anaeleza jinsi Daudi alikuwa na hasira sana kama vile mwili wake ulikuwa umechemka kwa sababu ya hasira.

Mgeni wake

Ilikuwa ni kwa ajili ya chakula cha mgeni wake

Akamwambia Nathani kwa hasira

Hii inamaanisha kwamba Daudi aliongea na Nathani kwa hasira.

Kama Yahwe aishivyo

Hii inaeleza kwamba Daudi alikuwa akiapa kiapo au ahadi ya kuaminika.

Kumwua

Hii inamaanisha kumwua. Yaani kufa

Anapaswa kulipa kondoo mara nne

Kiasi tajiri alichopaswa kulipa kilikuwa mara nne ya thamani ya kondoo.

Huruma

Kujisikia huzuni na upendo kwa anayeumia au kutopendwa