forked from WA-Catalog/sw_tn
663 B
663 B
Mtamba wa kondoo
Kondoo jike
Hasira ya Daudi ikawaka kinyume cha
Hapa mwandishi anaeleza jinsi Daudi alikuwa na hasira sana kama vile mwili wake ulikuwa umechemka kwa sababu ya hasira.
Mgeni wake
Ilikuwa ni kwa ajili ya chakula cha mgeni wake
Akamwambia Nathani kwa hasira
Hii inamaanisha kwamba Daudi aliongea na Nathani kwa hasira.
Kama Yahwe aishivyo
Hii inaeleza kwamba Daudi alikuwa akiapa kiapo au ahadi ya kuaminika.
Kumwua
Hii inamaanisha kumwua. Yaani kufa
Anapaswa kulipa kondoo mara nne
Kiasi tajiri alichopaswa kulipa kilikuwa mara nne ya thamani ya kondoo.
Huruma
Kujisikia huzuni na upendo kwa anayeumia au kutopendwa