forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
663 B
Markdown
32 lines
663 B
Markdown
|
# Mtamba wa kondoo
|
||
|
|
||
|
Kondoo jike
|
||
|
|
||
|
# Hasira ya Daudi ikawaka kinyume cha
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anaeleza jinsi Daudi alikuwa na hasira sana kama vile mwili wake ulikuwa umechemka kwa sababu ya hasira.
|
||
|
|
||
|
# Mgeni wake
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa ni kwa ajili ya chakula cha mgeni wake
|
||
|
|
||
|
# Akamwambia Nathani kwa hasira
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba Daudi aliongea na Nathani kwa hasira.
|
||
|
|
||
|
# Kama Yahwe aishivyo
|
||
|
|
||
|
Hii inaeleza kwamba Daudi alikuwa akiapa kiapo au ahadi ya kuaminika.
|
||
|
|
||
|
# Kumwua
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kumwua. Yaani kufa
|
||
|
|
||
|
# Anapaswa kulipa kondoo mara nne
|
||
|
|
||
|
Kiasi tajiri alichopaswa kulipa kilikuwa mara nne ya thamani ya kondoo.
|
||
|
|
||
|
# Huruma
|
||
|
|
||
|
Kujisikia huzuni na upendo kwa anayeumia au kutopendwa
|