sw_tn/2sa/11/14.md

280 B

akaituma kwa mkono wa Uria

Kifungu "mkono wa Uria" inamrejea Uria mwenyewe.

Mbele kabisa ya vita vikali zaidi

"mbele zaidi ya vita mahali ambapo vita ni vikali sana"

Kumwacha

"Amru askari kurudi nyuma na kumwacha"

awe amepigwa na kuuawa

"Awe amejeruhiwa na kuuawa"