forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
597 B
Markdown
20 lines
597 B
Markdown
# Bwana wake
|
|
|
|
Neno "yake" inarejerea kwa Uria na neno "bwana" inarejerea kwa Daudi.
|
|
|
|
# Je haujatoka safarini? Kwa nini haukwenda nyumbani kwako?
|
|
|
|
Hili swali linaonesha ushangao wa Uria kwa nini hakumtembelea mke wake.
|
|
|
|
# Israeli na Yuda
|
|
|
|
Hii inarejea kwa majeshi yao yaani "majeshi ya Israeli na Yuda"
|
|
|
|
# Jinsi gani basi mimi naweza kwenda kwangu... pamoja na mke wangu?
|
|
|
|
Swali hili linasisitiza hali ya Uria kukataa kumtembelea mke wake.
|
|
|
|
# Kwa hakika kama uishivyo, sitafanya hivyo.
|
|
|
|
Uria anaapa kwa ahadi yenye nguvu kwamba hatakwenda nyumbani kwa mke wake kwa vile askari wengine wapo vitani.
|