sw_tn/2sa/09/05.md

287 B

Mfalme Daudi akatuma

Inafahamika kwamba Daudi alituma wajumbe.

Mefiboshethi

Hili ni jina la mwanaume

alikuja kwa Daudi

Neno "alikuja" laweza fasiriwa kuwa "alikwenda."

Mimi ni mtumishi wako

Mefiboshethi anajirejerea kama "mtumishi wako" kuonesha heshima kubwa kwa mfalme.