forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
305 B
Markdown
16 lines
305 B
Markdown
# Ninaweza kuonesha ukarimu wa Mungu
|
|
|
|
Yaweza kufasiriwa kuwa "naweza kuwa mkarimu kama niliyomwaidi Mungu"
|
|
|
|
# mlemavu katika miguu yake
|
|
|
|
"Ambaye miguu yake imearibika." Neno "miguu" hapa linaonesha uwezo wa kutembea.
|
|
|
|
# Makiri... Amieli
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Lo Debari
|
|
|
|
Hili ni jina la sehemu.
|