forked from WA-Catalog/sw_tn
357 B
357 B
Yoabu mwana wa Seruya
Hili ni jina la mwanaume
Ahiludi... Ahitubu... Ahimeleki... Seraya... Yehoiada
Haya ni majina ya wanaume.
Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.
Mwandishi alikuwa mtu aliyekuwa akiongea na watu na kuwambia matangazo ya mfalme.
Wakerethi... Wapelethi
Haya ni majina ya makundi ya watu. Hawa walikuwa walinzi wa Daudi.