sw_tn/2sa/08/15.md

357 B

Yoabu mwana wa Seruya

Hili ni jina la mwanaume

Ahiludi... Ahitubu... Ahimeleki... Seraya... Yehoiada

Haya ni majina ya wanaume.

Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.

Mwandishi alikuwa mtu aliyekuwa akiongea na watu na kuwambia matangazo ya mfalme.

Wakerethi... Wapelethi

Haya ni majina ya makundi ya watu. Hawa walikuwa walinzi wa Daudi.