forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
729 B
Markdown
28 lines
729 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Daudi aliendelea kuongea na Yahwe.
|
|
|
|
# Hivyo basi
|
|
|
|
Hapa "basi" haimaanishi "sasa," lakini inatumika kuleta usikivu kwa jambo muhimu kama ifuatavyo.
|
|
|
|
# Na ahadi uliyoifanya kuhusu mtumishi wako na familia yake iwe imara daima
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Yaani: "Na ufanye ulichoniahidi na familia yangu, na ahadi yako isibadilike"
|
|
|
|
# mtumishi wako na familia yake
|
|
|
|
Daudi anajisema katika nafsi ya tatu. Yaweza kuwa: "mimi na familia yangu"
|
|
|
|
# Jina lako na liwe kuu daima
|
|
|
|
Hapa "jina" inawakilisha heshima ya Yahwe.
|
|
|
|
# Nyumba yangu, Daudi, mtumishi wako
|
|
|
|
Hapa "nyumba" inawakilisha familia.
|
|
|
|
# Umethibitishwa mbele yako
|
|
|
|
Hii yaweza kuwa "ni salama kwa sababu wewe" au "unaendelea kwa sababu yako"
|