sw_tn/2sa/07/12.md

916 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kueleza ahadi zake kwa Mfalme Daudi kupitia nabii Nathani.

Siku zako zitakapokamilika na ukalala na baba zako

Vifungu hivi viwili vina maana sawa na vimeunganishwa kwa msisitizo. Vyote ni njia ya nyepesi ya kuonesha kifo na kufa.

Nitainua mzao baada yako

Yahwe aliteua mzao wa Daudi inaoneshwa kama Yahwe angeinua juu.

atakaye toka katika mwili wako

Usemi huu unamaanisha kwamba mtu huyo atakuwa mzao wa Daudi.

Nitauimarisha ufalme wake

Hapa "ufalme wake" inawakilisha nguvu ya kumiliki.

nyumba kwa jina langu

Hapa "jina" renarejea kwa Yahwe. Yaani: "makazi yangu ya kudumu"

Nitakifanya imara kiti cha enzi cha ufalme wake daima.

Hapa "kiti cha enzi" inawakilisha nguvu ya mtu kumilki kama mfalme.

Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwanangu

Unabii katika 7:12-14 unarejea kwa Sulemani, mwana wa Daudi. Lakini, mambo ya unabii yatatimizwa na Yesu.