forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
916 B
Markdown
32 lines
916 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kueleza ahadi zake kwa Mfalme Daudi kupitia nabii Nathani.
|
||
|
|
||
|
# Siku zako zitakapokamilika na ukalala na baba zako
|
||
|
|
||
|
Vifungu hivi viwili vina maana sawa na vimeunganishwa kwa msisitizo. Vyote ni njia ya nyepesi ya kuonesha kifo na kufa.
|
||
|
|
||
|
# Nitainua mzao baada yako
|
||
|
|
||
|
Yahwe aliteua mzao wa Daudi inaoneshwa kama Yahwe angeinua juu.
|
||
|
|
||
|
# atakaye toka katika mwili wako
|
||
|
|
||
|
Usemi huu unamaanisha kwamba mtu huyo atakuwa mzao wa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Nitauimarisha ufalme wake
|
||
|
|
||
|
Hapa "ufalme wake" inawakilisha nguvu ya kumiliki.
|
||
|
|
||
|
# nyumba kwa jina langu
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" renarejea kwa Yahwe. Yaani: "makazi yangu ya kudumu"
|
||
|
|
||
|
# Nitakifanya imara kiti cha enzi cha ufalme wake daima.
|
||
|
|
||
|
Hapa "kiti cha enzi" inawakilisha nguvu ya mtu kumilki kama mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwanangu
|
||
|
|
||
|
Unabii katika 7:12-14 unarejea kwa Sulemani, mwana wa Daudi. Lakini, mambo ya unabii yatatimizwa na Yesu.
|