sw_tn/2sa/06/18.md

239 B

aliwabariki watu kwa jina la Yahwe wa majeshi

Kubariki "katika jina la Yahwe wa majeshi" inamaanisha kubariki kwa nguvu na mamalaka ya Yahwe, au kama mwakilishi wake.

keki ya zabibu kavu

mkate mtamu uliookwa kutokana na zabibu kavu