forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
920 B
Markdown
40 lines
920 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
Neno hili linaonesha sehemu mpya ya taarifa.
|
|
|
|
# watu wote wateule wa Israeli
|
|
|
|
Aina hii ya maana inawakilisha jeshi la taifa la Israeli.
|
|
|
|
# Elfu thelathini
|
|
|
|
"30,000"
|
|
|
|
# kutoka Baala katika Yuda kulileta sanduku kutoka pale
|
|
|
|
Inaonesha kuwa wanalichukua sanduku kutoka Yerusalemu. Yaani: "kutoka Baala uliopo Yuda kulipeleka Sanduku la Mungu huko Yerusalemu"
|
|
|
|
# kulileta sanduku la Mungu kutoka pale
|
|
|
|
Yerusalemu ilikuwa juu kuliko pengine sehemu nyingine yoyote katika Israeli, hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kusema kukwea au kushuka kutoka Yerusalemu.
|
|
|
|
# kulipandisha
|
|
|
|
Neno "leta" laweza kutafsiriwa kama "chukua."
|
|
|
|
# Baala
|
|
|
|
Hili ni jina la mahali
|
|
|
|
# ambalo linaitwa kwa jina langu Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Jina la Yahwe lilikuwa limeandikwa juu ya sanduku.
|
|
|
|
# akaaye juu ya makerubi
|
|
|
|
"akaaye katika sehemu ya mamlaka kati ya makerubi"
|
|
|
|
# kukaa katika kiti cha enzi
|
|
|
|
kukaa juu ya kiti cha enzi au mahali pa mamlaka
|