sw_tn/2sa/05/22.md

12 lines
256 B
Markdown

# Wafilisiti wakaja tena
"Walikuja" kwa sababu Wafilisiti waliishi upande wa chini kuliko ngome ya Daudi.
# Bonde la Mrefai
Hili ni jina la sehemu.
# miti ya miforosadi
"Miforosadi" ni aina ya miti, na "miti" inaelezea miti ya miforosadi iliyopamoja.