sw_tn/2sa/05/22.md

256 B

Wafilisiti wakaja tena

"Walikuja" kwa sababu Wafilisiti waliishi upande wa chini kuliko ngome ya Daudi.

Bonde la Mrefai

Hili ni jina la sehemu.

miti ya miforosadi

"Miforosadi" ni aina ya miti, na "miti" inaelezea miti ya miforosadi iliyopamoja.