forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
584 B
Markdown
16 lines
584 B
Markdown
# tu nyama na mfupa wako
|
|
|
|
Kifungu kinamaanisha "undugu." Yaani "sisi tunauhusiano nawe" au sisi tu wa familia moja."
|
|
|
|
# wakati mfupi uliopita
|
|
|
|
Hii ni habari ya kihistoria. Sauli alikuwa mfalme wao kabla ya Daudi.
|
|
|
|
# Utawachunga watu wangu Israeli, nawe utakuwa mtawala juu ya Israeli
|
|
|
|
Vishazi viwili hivi vinamaanisha kimsingi jambo moja na linasistiza kwamba Yahwe alikuwa amemchagua Daudi kuwa mfalme.
|
|
|
|
# Utawachunga watu wngu Israeli
|
|
|
|
Hapa kuwatawala watu kunazungumzwa kana kwamba ni kuwachunga. Yaani: "utawaangalia watu wangu Israeli" au "Utatawala juu ya Israeli watu wangu"
|