forked from WA-Catalog/sw_tn
434 B
434 B
Je hamjui kwamba mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli?
Swali hili lisilodai jibu limetumika kuonesha jinsi Daudi alivyomweshimu Abneri. Hapa "kuanguka"ni neno linalomaanisha "kifo". Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: Ni wazi kwamba mtu mkuu amekufa leo katika Israeli!"
mwana mfalme na mtu mkuu
Vifungu hivi viwili vyote vinamrejerea Abneri.
Neri...Seruya
Haya ni majina ya wanaume.
ukatili
"bila huruma"