sw_tn/2sa/03/37.md

434 B

Je hamjui kwamba mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli?

Swali hili lisilodai jibu limetumika kuonesha jinsi Daudi alivyomweshimu Abneri. Hapa "kuanguka"ni neno linalomaanisha "kifo". Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: Ni wazi kwamba mtu mkuu amekufa leo katika Israeli!"

mwana mfalme na mtu mkuu

Vifungu hivi viwili vyote vinamrejerea Abneri.

Neri...Seruya

Haya ni majina ya wanaume.

ukatili

"bila huruma"