sw_tn/2sa/01/11.md

537 B

Daudi akararua mavazi yake... watu waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile

Daudi na watu wake walirarua mavazi yao kama ishara ya kuomboleza kwa ajili ya Mfalme Sauli.

alikuwa ameanguka

Hii inamaanisha "alikuwa ameuawa."

Kwa upanga

Hapa upanga unahusianishwa na vita, yaweza kumaanisha "katika magwanda ya kijeshi"

Unatoka wapi?

Yule mtu alikuwa amekwisha eleza kuwa yeye ni Mwamaleki katika 1:8. Bila shaka Daudi anamwuliza yule mtu kuthibitisha kwa sababu ya hukumu kali aliyokuwa anaelekea kuitamka juu ya mtu yule.