forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
537 B
Markdown
16 lines
537 B
Markdown
|
# Daudi akararua mavazi yake... watu waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile
|
||
|
|
||
|
Daudi na watu wake walirarua mavazi yao kama ishara ya kuomboleza kwa ajili ya Mfalme Sauli.
|
||
|
|
||
|
# alikuwa ameanguka
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha "alikuwa ameuawa."
|
||
|
|
||
|
# Kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Hapa upanga unahusianishwa na vita, yaweza kumaanisha "katika magwanda ya kijeshi"
|
||
|
|
||
|
# Unatoka wapi?
|
||
|
|
||
|
Yule mtu alikuwa amekwisha eleza kuwa yeye ni Mwamaleki katika 1:8. Bila shaka Daudi anamwuliza yule mtu kuthibitisha kwa sababu ya hukumu kali aliyokuwa anaelekea kuitamka juu ya mtu yule.
|