sw_tn/2sa/01/01.md

387 B

Siku ya tatu

"Baada ya siku tatu"

Nguo zake zikiwazimeraruliwa na akiwa na vumbi juu ya kichwa chake

Katika utamaduni huu, mtu kurarua mavazi yake na kuweka vumbi kichwani pa mtu lilikuwa tendo la kuombolezo.

Aliinamisha uso wake chini na kujifanya yeye mwenyewe kuwa si kitu

Hili lilikuwa ni tendo la kuonesha utii kwa Daudi, ambaye kwa wakati huo alikuwa mfalme wa Israeli.