forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1004 B
Markdown
32 lines
1004 B
Markdown
# hawa wanyama wasio na akili
|
|
|
|
Kama vile wanyama wasivyoweza kueleza kwa mantiki, vivyo hivyo hawa watu hawaezi kuwa na mantiki, "Hawa walimu wa uongo wako kama wanyama wasio na akili"
|
|
|
|
# Hawajui wanachotukana
|
|
|
|
Huongea uovu ambao hawaujui
|
|
|
|
# wataangamizwa
|
|
|
|
Mungu atwaangamiza watu hawa
|
|
|
|
# Wataumizwa kwa ujira wa maovu yao
|
|
|
|
"Wanachofikiri kuwa ni kizuri kwao, kiuhalisia ni kibaya kwao"
|
|
|
|
# Wamejaa uovu na uchafu
|
|
|
|
Neno "uchafu" na "uovu" vinamaanisha maana moja. Waalimu wa uongo hufedhehesha na kutahayarisha amabavyo ni sawa na uchafu na uovu ambavyo mtu hawezi kviondoa
|
|
|
|
# hufurahia udanganyifu wanaposherehekea na wewe
|
|
|
|
huendele katika furaha ya kuwadanganya watu wasio hatia na katika macho yao hawaonyeshi hatia
|
|
|
|
# macho yao yamefunikwa na uzinzi, hwatosheki kutenda dhambi
|
|
|
|
"wanatamani kila mwanmke wanayemuona na kamwe hawatosheki"
|
|
|
|
# wana mioyo iliyofunzwa kujaa tamaa
|
|
|
|
" inawakirisha mtu kama kamili, alifunzwa katika mawazo na na mattendo ya uchoyo. wanatamani utajiri na miliki isiyo haki.
|