sw_tn/2pe/02/12.md

1004 B

hawa wanyama wasio na akili

Kama vile wanyama wasivyoweza kueleza kwa mantiki, vivyo hivyo hawa watu hawaezi kuwa na mantiki, "Hawa walimu wa uongo wako kama wanyama wasio na akili"

Hawajui wanachotukana

Huongea uovu ambao hawaujui

wataangamizwa

Mungu atwaangamiza watu hawa

Wataumizwa kwa ujira wa maovu yao

"Wanachofikiri kuwa ni kizuri kwao, kiuhalisia ni kibaya kwao"

Wamejaa uovu na uchafu

Neno "uchafu" na "uovu" vinamaanisha maana moja. Waalimu wa uongo hufedhehesha na kutahayarisha amabavyo ni sawa na uchafu na uovu ambavyo mtu hawezi kviondoa

hufurahia udanganyifu wanaposherehekea na wewe

huendele katika furaha ya kuwadanganya watu wasio hatia na katika macho yao hawaonyeshi hatia

macho yao yamefunikwa na uzinzi, hwatosheki kutenda dhambi

"wanatamani kila mwanmke wanayemuona na kamwe hawatosheki"

wana mioyo iliyofunzwa kujaa tamaa

" inawakirisha mtu kama kamili, alifunzwa katika mawazo na na mattendo ya uchoyo. wanatamani utajiri na miliki isiyo haki.