forked from WA-Catalog/sw_tn
880 B
880 B
kwa hakika huu ndio ukweli
Neno "huu" linamaanisha Mungu kuwalinda watu wasio haki gerezani mpaka siku ya hukumu.
wale wanaoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka
Watu wasio haki wanaoendela kuishi katika tamaa ya mwilii na kuwachukia viongozi wao au watawala wao.
mwili
Neno "mwili" linamaanisha ubinadamu katika dhambi ya asili ya mwanadamu
wana ujasiri katika dhamiri zao
Neno "dhamiri" linamaanisha wale wanaoendelea katika uharibifu wa tamaa katika dhambi zao za asili na hawaheshimu malaika na mamlaka ya kiroho
Hwaogopi kuwakufuru watukufu
Wasio haki hawaogopi kuwachokoza na kuwanenea maovu malaika
malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu
Malaika wana nguvu za mwili na wa mamalka kuliko wanadamu
Lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana
"lakini malaika hawaleti humu iumizayo dhidi ya hawa watu kwa Bwana"