sw_tn/2pe/02/10.md

880 B

kwa hakika huu ndio ukweli

Neno "huu" linamaanisha Mungu kuwalinda watu wasio haki gerezani mpaka siku ya hukumu.

wale wanaoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka

Watu wasio haki wanaoendela kuishi katika tamaa ya mwilii na kuwachukia viongozi wao au watawala wao.

mwili

Neno "mwili" linamaanisha ubinadamu katika dhambi ya asili ya mwanadamu

wana ujasiri katika dhamiri zao

Neno "dhamiri" linamaanisha wale wanaoendelea katika uharibifu wa tamaa katika dhambi zao za asili na hawaheshimu malaika na mamlaka ya kiroho

Hwaogopi kuwakufuru watukufu

Wasio haki hawaogopi kuwachokoza na kuwanenea maovu malaika

malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu

Malaika wana nguvu za mwili na wa mamalka kuliko wanadamu

Lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana

"lakini malaika hawaleti humu iumizayo dhidi ya hawa watu kwa Bwana"