forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
701 B
Markdown
20 lines
701 B
Markdown
# Tunalo hili neno la unabii lililothibitika
|
|
|
|
Perto anamaanisha wale Mitume. Mitume wnaujumbe kutoka kwa malaika ambao wanajua kuwa ndiyo ukweli kutoka kwa Mungu
|
|
|
|
# Ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza
|
|
|
|
Petro anawaelekeza waumini kuwa na utayari kwa jumbe za kinabii
|
|
|
|
# Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kunapokucha
|
|
|
|
Ujumbe wa kinabii umelinganishwa na taa inayotoa Mwanga gizani mpaka mwanga unapowadia asubuhi.
|
|
|
|
# Na nyota za mawio zionekanapo katika mioyo yenu
|
|
|
|
Nyota ya asubuhi ni Kristo anayekuja kuishi kwenye mioyo yetu.
|
|
|
|
# isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu
|
|
|
|
Roho mtakatifu aliwaongoza watu hawa, kwa hiyo waliongea ambacho Mungu alitaka waongee.
|