sw_tn/2pe/01/19.md

701 B

Tunalo hili neno la unabii lililothibitika

Perto anamaanisha wale Mitume. Mitume wnaujumbe kutoka kwa malaika ambao wanajua kuwa ndiyo ukweli kutoka kwa Mungu

Ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza

Petro anawaelekeza waumini kuwa na utayari kwa jumbe za kinabii

Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kunapokucha

Ujumbe wa kinabii umelinganishwa na taa inayotoa Mwanga gizani mpaka mwanga unapowadia asubuhi.

Na nyota za mawio zionekanapo katika mioyo yenu

Nyota ya asubuhi ni Kristo anayekuja kuishi kwenye mioyo yetu.

isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu

Roho mtakatifu aliwaongoza watu hawa, kwa hiyo waliongea ambacho Mungu alitaka waongee.