forked from WA-Catalog/sw_tn
701 B
701 B
Tunalo hili neno la unabii lililothibitika
Perto anamaanisha wale Mitume. Mitume wnaujumbe kutoka kwa malaika ambao wanajua kuwa ndiyo ukweli kutoka kwa Mungu
Ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza
Petro anawaelekeza waumini kuwa na utayari kwa jumbe za kinabii
Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kunapokucha
Ujumbe wa kinabii umelinganishwa na taa inayotoa Mwanga gizani mpaka mwanga unapowadia asubuhi.
Na nyota za mawio zionekanapo katika mioyo yenu
Nyota ya asubuhi ni Kristo anayekuja kuishi kwenye mioyo yetu.
isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu
Roho mtakatifu aliwaongoza watu hawa, kwa hiyo waliongea ambacho Mungu alitaka waongee.